Categories Nasaha za leo MIONGONI MWA MAKOSA YA WANAWAKE WALIOOLEWA Post author By ibnuthaymin Post date June 1, 2023 No Comments on MIONGONI MWA MAKOSA YA WANAWAKE WALIOOLEWA Kuzembea kwa baadhi ya wanawake katika kufanya shughuli za nyumbani kama vile usafi wa nyumba na mavazi yao. Na baadhi yao hawatilii umuhimu suala la kujipamba kwa wavazi na manukato mazuri mbele ya waume zao kiasi ambacho hawajipambi isipokuwa wanapotoka nje ya nyumba zao hususani wanapoelekea kwa jamaa zao au katika sherehe mbalimbali kama vile harusi. ← WEMA WALIOTANGULIA WALIVYOISHI NA WATUMISHI WAO → HII NDIO NEEMA KUBWA Leave a Reply Cancel replyYour email address will not be published. Required fields are marked *Comment * Name * Email * Website Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.