Categories
Kalima fupi

KATIKA SUNA ZILIZOHAMWA !

عَنْ ابْن عمر- رضي الله عنه-

 أنَّ رسولَ اللَّهِ ﷺ :

Kutoka kwa ibn Umar- Allah amridhie- kuwa mtume wa Allah – swala na salamu za Allah zimfikie-:

 (كَانَ لَا يَنَامُ إِلَّا وَالسِّوَاكُ عِنْدَهُ،  فَإِذَا اسْتَيْقَظَ بَدَأَ بِالسِّوَاكِ )

Alikuwa halali isipokuwa mswaki upo mbele yake (karibu naye) ,na pindi anapoamka tu  (usingizini) huanza kupiga mswaki

        حسنه الوادعي في

📚‘ الصحيح المسند – رقم : (٧٧٥)

Maelezo:

Katika zama zetu kuna watu hawalali isipokuwa simu zao zipo karibu nao na wanapoamka kitu cha kwanza ni kuwasha data na kuingia mtandaoni!

Tunamuomba Allah salama.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *