قال أبو أيُّوب الأنصاري – رضي الله عنه-:
Amesema Abuu Ayyuub Al-answaariy- Allah amridhie- :
خَرَجَ النبيُّ صَلَّى اللهُ عليه وسلَّمَ وقدْ وجَبَتِ الشَّمْسُ، فَسَمِعَ صَوْتًا فَقالَ: يَهُودُ تُعَذَّبُ في قُبُورِهَا.
(Siku moja) Mtume- swala na salamu za Allah zimfikie- alitoka (katika mji wa Madina) na hali ya kuwa jua limezama,basi akasikia sauti ,(Mtume) akasema:
[ Mayahudi wanaadhibiwa makaburini mwao ]
Maelezo:
“Hii ni alama katika alama za utume wake kwa sababu hakuna anayeweza kujua hili bila ya kufahamishwa na Allah , na vile vile ni dalili ya adhabu ya kaburi kwa makafiri na washirikina mpaka kiama. “