Categories
Nasaha za leo

NEEMA INASHUKURIWA KWA MANENO NA VITENDO

يستحبّ تجديد الشّكر عند تجدّد النّعم لفظاً بالحمد والثّناء ، ويكون الشّكر على ذلك أيضاً بفعل قربة من القرب ” Inapendelewa kufanya upya shukrani kwa matamko ya kumhimidi na kumsifu Allah pindi inapopatikana neema mpya juu yako, na pia shukrani inakuwa kwa kufanya jambo jema katika mema ya kujisogeza kwa Allah”

Categories
Nasaha za leo

MIONGONI MWA SABABU ZA KUPATA ZIADA YA ELIMU YA DINI

قال الشيخ الفوزان حفظه الله تعالى: ولا تنس يا أخي أن العلم ينمو ويزكو مع العمل فإذا عملت بما علمت ; زادك الله علما . Amesema Sheikh Fauzaan, ALLAH amuhifadhi: (( Na wala usisahau ewe ndugu yangu, hakika elimu ya dini inakua na inaongezeka kwa kufanyia kazi, pindi utakapofanyia kazi kile ambacho unakijua, ALLAH anakuongezea […]

Categories
Nasaha za leo

DUA HII HUKUBALIKA

عن أم الدرداء رضي الله عنها مرفوعاً: « دعوة المرء المسلم لأخيه بظَهْرِ الغيب مستجابة، عند رأسه مَلَك مُوَكَّلٌ كلما دعا لأخيه بخير قال الملك المُوَكَّلُ به: آمين، ولك بمِثْلٍ Kutoka kwa Ummu Dardaa Allah amridhie, kutoka kwa Mtume swallaallaahu alaihi wasallam amesema: (( Dua ya muislamu kumuombea Muislamu mwingine hali ya kuwa hayupo pamoja […]

Categories
Nasaha za leo

MADHAMBI NI KIZUIZI CHA KUFANYA WEMA

قال ابن القيم رحمه الله تعالى عن آثار الذنوب: (( فينقطع عليه بالذنب طاعات كثيرة، كل واحدة منها خير له من الدنيا وما عليها. وهذا كرجل أكل أكلةً أوجَبَتْ له مرضة طويلةً منعته من عدة أكَلات أطيب منه Amesema Ibnu Alqayyim, Allah amrehemu kuhusiana na athari mbaya ya Madhambi: [[ Matendo mema yaliyo mengi mno […]

Categories
Mihadhara

ALLAH ANARIDHIA KWENU MAMBO MATATU

Categories
Mihadhara

ALLAH ANARIDHIA KWENU MAMBO MATATU

Categories
Nasaha za leo

WEMA WAKO USIWE SABABU YA KUDHARAU MADHAMBI

عن أبي أيوب الأنصاري رضي الله عنه قال: “إن الرجل ليعمل الحسنة، فيثق بها وينسى المحقرات، فيلقى الله وقد أحاطت به، وإن الرجل ليعمل السيئة فلا يزال مشفقًا حتى يلقى الله آمنًا Kutoka kwa Abuu Ayyuub Al-answariy , Allah amridhie, amesema: (( Hakika mtu anaweza kutenda wema kisha akajiaminisha kwa huo wema na akasahau (na […]

Categories
Nasaha za leo

USILIMBIKIZE MADHAMBI NDUGU YANGU !

قيل لحُذَيْفَةَ بن اليمان رَضِيَ اللَّهُ عَنْه: أفِي يَوْمٍ وَاحِدٍ تَرَكَتْ بَنُو إِسْرَائِيلَ دِينَهُمْ؟ قَالَ: لَا، وَلَكِنَّهُمْ كَانُوا إِذَا أُمِرُوا بِشَيْءٍ تَرَكُوهُ، وَإِذَا نُهُوا عَنْ شَيْءٍ رَكِبُوهُ، حَتَّى انْسَلَخُوا مِنْ دِينِهِمْ كَمَا يَنْسَلِخُ الرَّجُلُ مِنْ قَمِيصِهِ Aliulizwa Hudhaifah Ibn Alyamaan Allah amridhie; Je wana wa Israeli waliiacha sheria ya dini yao ndani ya siku moja […]

Categories
Maswali na Majibu ya Wanachuoni Maswali ya Tauhidi

UHUSIANO KATI YA TAUHIDI NA IMANI

Aliulizwa Sheikh Ibnu Uthaymin Allah amrehemu: Je Tauhidi ndio Imani? Akajibu: الإيمان والتوحيد شيئان متغايران وشيئان متفقان، فالتوحيد هو إفراد الله عز وجل بما يستحقه ويختص به من الربوبية والألوهية والأسماء والصفات، ولهذا قال العلماء رحمهم الله: إن التوحيد ينقسم إلى ثلاثة أقسام: توحيد الربوبية، وتوحيد الألوهية، وتوحيد الأسماء والصفات. وإن هذه الأقسام جاءت في […]

Categories
Nasaha za leo

KWA DHIKRI HII UTAKUWA UMEMSHUKURU MOLA WAKO MLEZI

مَن قالَ حينَ يُصبِحُ: اللَّهمَّ ما أصبحَ بي من نِعمةٍ أو بأحدٍ من خلقِك فمنكَ وحدَك، لا شريكَ لَك، فلَك الحمدُ، ولَك الشُّكرُ، فقد أدَّى شُكرَ يومِه، ومن قالَ مثلَ ذلِك حينَ يُمسي، فقد أدَّى شُكرَ ليلتِه Amesema Mtume swallallaahu alaihi wasallam : { Yeyote atakayesema pindi anapopambazukiwa na asubuhi; ” Ewe Allah sikuamka mimi […]