Categories
Picha/Kadi

JAMBO HILI HALIPENDEZI

Categories
Nasaha za leo

JIIPAMBE NA HILI

الفضيل بن عياض رحمه الله: Amesema Fushweyl Ibnu I’iyadh Allah amrehemu ‏”لم يتزيّن النّاس بشيء أفضل من الصّدق وطلب الحلال.” “Hawatajipamba watu na na kitu kilichobora zaidi kuliko ukweli na kutafuta halali” ‏——• ‏📚سير أعلام النّبلاء (8/ 426)

Categories
Darsa za siira

Ubeti -2 Mfundishaji Sheikh Abuu Fat’hiya

Sikiliza hapaDownload
Categories
Darsa za siira

Ubeti-1 sheikh abuu Fat’hiya

sira bet- 1Download
Categories
vitabu/pdf

الحقوق والواجبات على الرجال والنساء في الإسلام

الحقوق والواجبات على الرجال والنساء في الإسلامDownload
Categories
vitabu/pdf

الإبداع شيخ صالح ابن عثيمين

الابداعDownload
Categories
Taarifa

Taarifa ya kufunguliwa Chuo cha Tahifidhi

Mnatangaziwa Waislamu wote kuwepo chuo cha kuhifadhisha Tahfidhi

Categories
Nasaha za leo

Amesema Sheykh Ibnu Uthaymeen Allah amrehemu:

Amesema Sheykh Ibnu Uthaymeen Allah amrehemu: “Yoyote atakae muabudia Allah kinyume na kile alichokiekea Sheria Allah katika itiqadi au kauli au kitendo basi huyo ni mzushi.” 📚SHERHU RIYAADHWIS SWAALIHIINA,(2/238) Amesema Sheykhul islaamu Ibnu Taymiyyah Allah amrehemu “Hakika Allah humuinua mtu kwa kiasi ya  kushikamana kwake na Sunna ya Mtume wa Allah sala na salamu ziwe […]

Categories
Taarifa

Fomu ya kujiunga na Markaz Ibn Uthaymin

fomu-ya-ibn-uthayminpakua kwa kubonyeza hapa
Categories
Nasaha za leo

ADHABU YA KABURI

قال أبو أيُّوب الأنصاري – رضي الله عنه-: Amesema Abuu Ayyuub Al-answaariy- Allah amridhie- :  خَرَجَ النبيُّ صَلَّى اللهُ عليه وسلَّمَ وقدْ وجَبَتِ الشَّمْسُ، فَسَمِعَ صَوْتًا فَقالَ: يَهُودُ تُعَذَّبُ في قُبُورِهَا. (Siku moja) Mtume- swala na salamu za Allah zimfikie- alitoka (katika mji wa Madina) na hali ya kuwa jua limezama,basi akasikia sauti ,(Mtume) akasema: […]