Categories
Nasaha za leo

MUONGOZO MUHIMU

MUONGOZO Huu ni muongozo muhimu saana katika kunukuu khabari:- Si kila unalosikia husemwa. Amesema Mtume swallah Allah alaih wasallam:- كفى بالمرء كذبا أن يحدث بكل ما سمع (( Inamtosheleza Mtu kuwa muongo kwa kuhadithia kila anacho kisikia )) Na ikaja katika mapokezi mengine : (( Inamtosha Mtu kupata madhambi kwa kusema kila anacho kisikia )) […]

Categories
Nasaha za leo

USIWE MSAADA KWA SHEYTWAAN

                            عن ابن مسعود -رضي الله- عنه قال:      Kutoka kwa Ibn Mas’uud Allah amridhie amesema :- “إذا رأيتم الرجل منكم قارف ذنبا، فلا تدعوا الله عليه، ولا تسبوه، ولكن ادعوا الله أن يعافية”  (( Pindi mtakapo muona ndugu yenu ameyaingia […]

Categories
Nasaha za leo

MWEZI WA ALLAH MUHARAM

Bado tupo katika miezi mitukufu mitatu yenye kufuatana na huu ni mwezi wa muharam ambao umeegemezwa kwake kwa kuitwa شهر الله المحرم Mwezi wa Allah wa muharam Katika miezi hii mitukufu Allah subhaana wataala amesema :فَلا تَظْلِمُوا فِيْهِنَّ أَنْفُسَكُمْBasi msizidhulumu ndani yake nafsi zenu Amesema Ibnu Abaas Allah amridhie:فجعلهن حراماً وعظّم حرماتهن، وجعل الذنب فيهن […]

Categories
Nasaha za leo

Nasaha

‏قال الشيخ صالح الفوزان -حفظه الله-:Amesema Sheikh swaaleh Alfawzaan Allah amhifadhi : عمر الإنسان أيام معدودة فما دمت معافا في بدنك وفي أمن واستقرار فسارع إلى الاشتغال بالطاعات.Umri wa mwanadamu ni masiku yenye kuhesabika basi kwa muda ambao umesalimika katika mwili wako , na upo katika amani , na utulivu basi fanya haraka kushughulika na […]

Categories
Makala Nasaha za leo

MAVAZI YA WANAWAKE WA KIISLAMU 2

Mavazi-ya-mwanamke-wa-Kiislamu-2Pakua hapa
Categories
Makala Nasaha za leo

UDH-HIYAH 6

Mwongozo-wa-kuchinja-Udh-hiya-6-Pakua hapa
Categories
Makala Nasaha za leo

UDH-HIYAH 5

Mwongozo-wa-kuchinja-Udh-hiya-4-Pakua hapa
Categories
Makala Nasaha za leo

UDH-HIYAH 3

Mwongozo-wa-kuchinja-Udh-hiya-3-Pakua hapa
Categories
Makala Nasaha za leo

UDH-HIYAH 1

Mwongozo-wa-kuchinja-Udh-hiya1Pakua hapa
Categories
Makala Nasaha za leo

UBORA WA MASIKU 10 YA MWANZO DHULHIJJAH

Ubora-wa-masiku-10-ya-mwanzoni-Dhulhijjah-4Pakua hapa