Categories
Makala Nasaha za leo

MASHARTI YA MNYAMA WA UDH-HIYAH

Mwongozo-wa-kuchinja-Udh-hiya-3-Pakua hapa
Categories
Makala Maswali na Majibu ya Wanachuoni Nasaha za leo

KUNUNUA BAJAJI KWA MALIPO YA KIDOGOKIDOGO.

KUNUNUA-BAJAJI-KWA-MALIPO-YA-KIDOGOKIDOGOPakua hapa
Categories
Makala Nasaha za leo

MIONGONI MWA NJAMA ZA SHETANI

TAHADHARI-DHIDI-YA-NJAMA-ZA-SHETANI-1Pakua hapa
Categories
Nasaha za leo

FADHILA ZA DHIKRI

‏قال ابن مسعود رَضِيَ ٱللّٰهُ عَنْهُ: Amesema Abdullah bin Mas’uud Allah amridhie: « مادمت تذكر اللّه فأنت في صلاة ولو كنت في السوق ». ‘ Kwa muda ambao unamtaja Allah basi wewe upo katika swala hata kama utakua sokoni ‘ .

Categories
Nasaha za leo Picha/Kadi

Kuna baadhi ya watu ambao wanaamini kwamba mkosi upo kwa watu au eneo, na wanadhani kwamba shari inaweza kuwapata kutoka katika maeneo hayo au watu hao moja kwa moja pasina hukumu ya Allah na makadirio yake. Na hii ndio imani ya mkosi ambayo Mtume swallallaahu alaihi wasallam ameikataza na akaeleza kuwa ni ushirikina. Kwa sababu […]

Categories
Nasaha za leo

KILICHOKUWA BORA BAADA YA IBADA ZA FARADHI

‏قال الإمام الشافعي رحمه الله : Amesema Imaam Shaafiy Allah amrehem : ليس بعد أداء الفرائض،شيء أفضل من طلب العلم . Hakuna baada ya kutekeleza ibada za faradhi , kilichokua bora zaidi ya kutafuta elimu. Nimesema : Elimu ya kumtambua Allah na dini yake na Mtume wake swallah Allahu alaihi wasalam kuna nyakati inakua lazima […]

Categories
Nasaha za leo

CHUKUA TAHADHARI DHIDI YA NJAMA ZA RIBA.

MIAMALA-YA-RIBAPakua hapa
Categories
Makala Nasaha za leo

CHUKUA TAHADHARI DHIDI YA NJAMA ZA SHETANI.

TAHADHARI-DHIDI-YA-NJAMA-ZA-SHETANIPakua hapa
Categories
Makala Nasaha za leo

ADHABU ZA KABURINI

Adhabu-za-KaburiniPakua hapa
Categories
Nasaha za leo

UKARIMU SI KWA KUMILIKI KIKUBWA

Amesema sheikh Muhammad bin ghaalib Al-umariy Allah amuhifadhi : لا يشترط لكي تكون كريما أن تكون غنيا. فقد تجد فقيرا معدما من أكرم الناس، بل ومن أسرعهم مبادرة لمساعدة المحتاجين، ومن أعفّهم عن السؤال. (( Hakuna shart ili kuwa mkarimu uwe tajiri , hakika unaweza kumkuta fakiri asiyekuwa na kitu lakini ni katika watu wakarimu […]