Uongozi wa Markaz Ibnu Uthaymin unawatangazia waislamu wote kuhusu uanzishwaji rasmi wa masomo ya taaluma ya dini katika mwaka huu wa msomo 1444 – 1445H sawa na 2023 – 2024M. Sambamba na matangazo kadha wa kadha yaliyotolewa kupitia njia mbalimbali za mawasiliano kuhusu fursa hii, hili ni tangazo la kuanza masomo yetu rasmi kwa vijana […]
Category: Taarifa
Categories
Bishara njema kwa Waislamu
Categories
Taarifa ya kufunguliwa Chuo cha Tahifidhi
Mnatangaziwa Waislamu wote kuwepo chuo cha kuhifadhisha Tahfidhi
Categories
Fomu ya kujiunga na Markaz Ibn Uthaymin
fomu-ya-ibn-uthayminpakua kwa kubonyeza hapa