Categories
Mihadhara

UBORA WA KUTETEA HESHIMA YA MUISLAMU.

‏قال رسول الله ﷺ :

Amesema Mtume wa Allah- swala na salamu za Allah zimfikie-:

«من رد عن عِرضِ أخيه كان له حجابا من النار».

“Mwenye kuitetea heshima ya ndugu yake (basi tendo lake hilo) litakuwa ni kizuizi kwake kutokana na moto”

📚“ صحيح الجامع – ٦٢٦٣

Maelezo:

Kumtetea ndugu yako muislamu pindi anapokuwa hayupo na akawa anasengenywa na kusemwa vibaya kufanya hivyo ni katika sababu za kuepushwa na moto siku ya kiama .

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *